
DAY 03 | MUNGU AFUNUAYE HAZINA ZA SIRI
Karibu kwenye Siku ya Kwanza ya mfululizo wa mafundisho ya kiroho: “MUNGU AFUNUAYE HAZINA ZA SIRI.” Katika kipindi hiki, Mwl. Lazaro Jullius anaongoza kwa ufunuo wa kina kuhusu jinsi Mungu hufunua mambo ya rohoni yaliyofichika — yale ambayo macho ya kawaida hayawezi kuona.
Katika mafundisho haya utajifunza: ✅ Mungu hufunua nini kwa watu wake waliotengwa kwa ajili yake ✅ Siri za kiroho zinazobeba mwelekeo wa maisha yako ✅ Jinsi ya kutembea katika mwanga wa mafunuo ya rohoni ✅ Namna ya kuomba ili Mungu afunue hazina zilizofichwa kwa ajili ya kizazi hiki Tazama kwa makini, fuatilia kila siku, na shiriki ujumbe huu kwa wengine. Hazina zako zinaweza kuwa ndani ya somo hili!

lazaro julius mwalimu
Mwl. Lazaro Jullius ni mtumishi wa Mungu mwenye neema ya kufundisha kwa ufunuo na kuwafungua watu katika siri za kiroho. Huduma yake inalenga kuwasaidia waumini kugundua hazina za Mungu zilizofichwa kwa ajili ya wakati huu.

Kesha na Kristo is a global night prayer network, inspired by Matthew 26:40. We are committed to awakening hearts through prayer, the Word, and the Gospel of Christ.
- Telephone : +255 765853859
- Email : info@keshanakristo.com
- Address: Kijitonyama, Dar es salaam Tanzania
Quick Message
Recent Blog
- June 26, 2025